Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano imeendelea tena usiku wa kuamkia hii leo ambapo;
Anderlecht (Belgium) 2-2 Partizan Belgrade (Serbia) - Partizan wameshinda kwa penati 3-2 baada ya matokeo ya jumla ya idadi ya mabao 4-4.
Sampdoria (Italy) 3-2 Werder Bremen (Germany) - Bremen wameshinda kwa ushindi wa jumla 5-4.
Hapoel Tel Aviv (Israel) 1-1 Salzburg (Austria) - Hapoel wameshinda kwa ushindi wa jumla 4-3.
Sevilla (Spain) 3-4 Braga (Portugal) - Braga wameshindwa kwa ushindi wa jumla 5-3.
Sheriff Tiraspol (Moldova) 0-3 Basel (Switzerland) - Basel wameshinda kwa ushindi wa jumla 4-0.
Hii leo michuano hiyo inaendelea tena ambapo.
Parken, Copenhagen
FC København v Rosenborg BK
Pod Dubnon, Žilina
MSK Zilina v Sparta Praha
White Hart Lane
Tottenham Hotspur v BSC Young Boys
Stade Abbé Deschamps
AJ Auxerre v Zenit St. Petersburg ,
Amsterdam ArenA, Amsterdam
Ajax v Dynamo Kyiv
Washindi wa michezo hii wanakwenda moja kwa moja katika hatua ya makundi.
No comments:
Post a Comment