KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Thursday, September 8, 2011

RADA ZA CHELSEA ZAENDELEA KUMSALA Luka Modric.

Meneja wa klabu ya Chelsea Andre Villas-Boas amesema baada ya kushindwa kumsajili kiungo kutoka nchini Croatia pamoja na klabu ya tottenham hotspurs Luka Modric katika kipindi cha usajili kilichomalizika usiku wa kumkia September mosi, wataangaliz uwezekano wa kuanzisha upya suala hilo mwezi januari kama itawezekana.

Chelsea waliripotiwa kuwa tayari kutoa kiasi cha paund million 40 kwa ajili ya kumsajili kiungo huyo mwenye umri wa miaka 25, lakini mipango hiyo haikufanikiwa mpaka dirisha la usajili linafungwa.

No comments:

Post a Comment