
Washika bunduki wa London ARSENAL watawakabili Celtic katika mchezo wa kuwani nafasi ya kuelekea kwenye hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Arsenal wameangukia kwa Celtic baada ya kufanyika kwa Droo ya hatua ya mtoano hii leo huko mjini Lnyon nchini Uswiz.
Michezo mingine ya hatua hiyo ya mtoano ni kama ifuatavyo;
Arsenal wameangukia kwa Celtic baada ya kufanyika kwa Droo ya hatua ya mtoano hii leo huko mjini Lnyon nchini Uswiz.
Michezo mingine ya hatua hiyo ya mtoano ni kama ifuatavyo;
FC Sheriff v Olympiakos
SV Red Bull Salzburg v Maccabi Haifa
FK Ventspils v FC Zurich
FC Copenhagen v Apoel Nicosia
Levski Sofia v Debrecen
Lyon v Anderlecht
FC Timisoara v VfB Stuttgart
Sporting v Fiorentina
Panathinaikos v Atletico Madrid
Michezo hiyo itachezwa kati ya August 18/19, na michezo ya marudiano itachezwa kati ya August 25/26.
No comments:
Post a Comment