
Klabu za MIDDLESBROUGH imekubali kumuuza winga wake wa kimataifa toka nchini Uingereza Stewart Downing kwa gharama ya paund million 12 ambazo zimetolewa kama ada ya uhamisho na klabu ya Aston Villa.
Makubaliano ya vilabu hivyo viwili yanamfanywa winga huyo mwenye umri wa miaka 24 kuondoka nyumbani kwao alipozaliwa na kutarajia kuanza maisha mapya huko Birmingham yalipo makao makuu ya klabu ya Aston Villa.
Hata hivyo kwa sasa Downing yu mbioni kurejea katika hali yake ya kawaida baada ya kufanyiwa upasuaji mdogo katika mguu.
No comments:
Post a Comment