KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Friday, November 20, 2009

BORA TURUDIANE !!!!!!!!


Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry amesema ombi la jamuhuri ya Ireland la kutaka mchezo urudiwe ni la kiungwana na endapo FIFA watabadili maamuzi yao wao wapo tayari.

Henry amesema hatua ya kurudiwa kwa mchezo huo ni nzuri ambayo anaamini aitamaliza malalamiko yaliyojitokeza miongoni mwa mashabiki pamoja na viongozi wa nchi ya Ireland.

No comments:

Post a Comment