
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Carlos Tevez amesema anatarajia kustaafu kucheza soka iwapo timu ya taifa ya Argentina itafanikiwa kushinda kombe la dunia kwa sababu ya kukosa nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza huku pia akiwa amechoka kutokana na kucheza sana soka.
Tevez mwenye umri wa miaka 25 amesema muda wake kuichezea timu yake ya taifa umepita baada ya kushindwa kufanya vizuri katika kampeni za kutafuta nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia.
Tevez mwenye umri wa miaka 25 amesema muda wake kuichezea timu yake ya taifa umepita baada ya kushindwa kufanya vizuri katika kampeni za kutafuta nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia.
Pia Tevez amesema kwa sasa wachezaji wa timu ya taifa ya Argentina hawathaminiwi na mashabiki na wadau wa soka nchini humo kwa madai kwamba wachezaji hao wanathamini pesa badala ya bendera.
No comments:
Post a Comment