
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa toka nchini Ureno Cristiano Ronaldo huenda akaanza kufanya mazoezi na kikosi cha klabu yake ya Real Madrid siku ya ijumaa kufuatia kupona kwa kifundo cha mguu kilichokua kinamsumbua kwa muda mrefu.
Kiungo huyo wa zamani wa klabu ya Man Utd alipata maumivu ya kifundo cha mguu mnamo Sepetemba 30 kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya klabu ya Olympic Marseille.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na afisa wa klabu ya Real Madrid Emilio Butragueno zimeelza kuwa Ronaldo ataanza maozezi baada ya kufanyiwa vipimo jana na kuonekana yu fit kujiunga na wenzake kwa mara nyingine tena.
Kiungo huyo wa zamani wa klabu ya Man Utd alipata maumivu ya kifundo cha mguu mnamo Sepetemba 30 kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya klabu ya Olympic Marseille.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na afisa wa klabu ya Real Madrid Emilio Butragueno zimeelza kuwa Ronaldo ataanza maozezi baada ya kufanyiwa vipimo jana na kuonekana yu fit kujiunga na wenzake kwa mara nyingine tena.
No comments:
Post a Comment