KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Wednesday, November 18, 2009

Roman Pavlyuchenko AKATA TAMAA.


Mshambuliaji wa kimataifa toka nchini Urusi Roman Pavlyuchenko amesema yu tayari kuondoka White Heart Lane kufuatia kuendelea kwa tatizo la kutojumuishwa kwenye kikosi cha kwanza cha klabu hiyo.


Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amesema kwa sasa maisha yamekuwa magumu, kufuatia utaratibu wa meneja wa Spurs Harry Redknapp ambao unamfaya kuwa chaguo la nne baada ya washambuliaji kama Robbie Keane, Jermain Defoe pamoja na Peter Crouch.

No comments:

Post a Comment