



Olympiakos 1-0 Arsenal



Matokeo ya michezo mingne ya michuano hiyo ni pamoja na
Dynamo Kiev 1-2 Barcelona
Inter Milan 2-0 Rubin Kazan
Liverpool 1-2 Fiorentina
Lyon 4-0 Debrecen
Olympiakos 1-0 Arsenal
Sevilla 1-0 Rangers
Standard Liege 1-1 AZ Alkmaar
VfB Stuttgart 3-1 Unirea Urziceni
Klabu zilizofanikiwa kusonga mbele katika michuano hiyo kupitia tiketi ya kuongoza makundi yao ni pamoja na;
Bordeaux , Manchester United, Real Madrid, Chelsea, Fiorentina, Barcelona, Sevilla pamoja na Arsenal.
Kwa upande wa klabu zilizofanikiwa kucheza hatua ijayo kupitia tiketi ya kushika nafasi ya pili katika makundi ni pamoja na;
Bayern Munich, CSKA Moscow, Milan, Fc Porto, Lyon, Internazionale, Stuttgart pamoja na Olympiakos.
Ratiba ya hatua ya mtoano ya michuano hiyo inatarajiwa kupangwa Disemba 18 mwaka huu mjini Zurich nchini Uswiz.
No comments:
Post a Comment