KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Friday, March 12, 2010

DROGBA BORA AFRICA.


Mshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast Didier Drogba usiku wa kuamkia leo alitangazwa kuwa mchezaji bora wa bara la Afrika kwa mwaka 2010.



Drogba ametangazwa kuwa mshindi katika tuzo hiyo ambayo hutolewa na shirikisho la soka barani Africa CAF huku akiawabwaga wapinzani wake Samuel Eto’o pamoja na Michael Esien ambao nao walikuwepo kwenye kinyang’anyiro hicho.




Mbali na Drobga kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo hiyo ya mchezoji bora katika hafla iliyofanyika mjini Acra nchini Ghana, pia timu ya taifa ya Algeria imetajwa kuwa timu bora ya mwaka 2010.

No comments:

Post a Comment