
Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger ameutaka uongozi wa klabu ya Real
Wenger ameupasha habari uongozi wa the Merengues, kufuatia kuhusishwa na taarifa za kuwa miongoni mwa mameneja wanaopewa nafasi za juu kuelekea huko St Bernabeu.
Meneja huyo wa kimataifa toka nchini Ufaransa amevieleza vyombo vya habari kwamba, kwa hivi sasa hafikirii kuondoka Emirates kutokana na mkataba wake kumbana hadi mwaka 2011.
No comments:
Post a Comment