KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Thursday, March 4, 2010

GILL ATOA KAULI.


Mtendaji mkuu wa klabu ya Man utd David Gill amesema meneja wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson bado ana nafasi ya kutumia fedha zilizotumika katika mauzo ya kiungo wa kimataifa toka nchini Ureno Cristiano ronaldo alieihama klabu hiyo na kujiunga na klabu ya Real Madrid.


Gill amelazimika kutoa maelezo hayo kufuatia uvumi ulioenea kwa mashabiki wa klabu hiyo ambao kwa kipindi chote toka kiungo huyo alipouzwa wamekua wakiamini fedha hizo zimechukuliwa na wamiliki wa Man utd ambao ni Familia ya Glazer.

No comments:

Post a Comment