
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya fainali za kombe la dunia nchini Afrika Kusini Danny Jordaan amesema asilimia kubwa ya maandalizi ya fainali hizo yamekamilika.
Amesema kwa sasa wanasubiri kuzipokea timu shiriki pamoja na wageni mbali mbali ambao wanawatarajia nchini humo.
Amesema kwa sasa wanasubiri kuzipokea timu shiriki pamoja na wageni mbali mbali ambao wanawatarajia nchini humo.
No comments:
Post a Comment