
Kiungo wa kimataifa toka nchini Uingereza Joe Cole hii leo anatarajia kuwepo kwenye kikosi cha klabu ya Liverpool ambacho kitashuka dimbani kuwania point tatu muhimu za michuano ya ligi ya barani Ulaya mbele Steaua Bucharest ya nchini Romania.
Kiungo huyo anatarajia kurejea uwanjani hii leo baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha majuma manne yaliyiopita ambayo yalishuhudia wakiwa anauguza jeraha la nyama za paja ambalo alilipata kwenye mchezo dhidi ya Bolton Wanderers waliokubali kichapo cha bao moja kwa sifuri toka kwa Liverpool.
Meneja wa klabu ya Liverpool Roy Hodgson amesema anatarajia kumuanzisha kiungo huyo katika mchezo wa hii leo na ana imani kubwa atatoa mchago wake ambao utakisaidia kikosi cha klabu hiyo kuzipata point tatu muhimu ambazo zitawavusha na kuingia katika hatua inayoafuata ya michuano hiyo.
Amesema alikua na wakati mgumu wa kufikiria suala la majeruhi linalomkabili kwa sasa lakini kurejea kwa Joe Cole kumemfariji na anaendelea kutumai Liverpool itafikia malengo yake kama yalivyopangwa toka mwanzoni mwa juma hili.
Liverpool watashuka katika uwanja wa ugenini hii leo huku wakiwa na matumaini ya wachezaji wao mahiri kama: Reina, Kelly, Wilson, Kyrgiakos, Aurelio, Lucas, Poulsen, Shelvey, Cole, Jovanovic, Babel.
Baadhi ya michezo mingine wa ligi ya barani Ulaya inayochezwa hii leo ni pamoja na:
Borussia Dortmund v Karpaty Lviv
CSKA Moscow v Lausanne Sports
CSKA Sofia v Besiktas
FC Utrecht v Napoli
Paris SG v Sevilla
Rapid Vienna v FC Porto
BATE Borisov v Dynamo Kiev
FC Sheriff Tiraspol v AZ Alkmaar
Palermo v Sparta Prague
PAOK Salonika v Club Bruges
Villarreal v Dinamo Zagreb
Michuano hiyo ya ligi ya ulaya usiku wa kuamkia hii leo imeendelea tena kwa baadhi ya michezo kuchezwa ambapo;
AA Gent 1-0 Levski Sofia
Atletico Madrid 2-3 Aris Salonika
FC Metalist Kharkiv 2-1 Debrecen
Hajduk Split 1-3 AEK Athens
Lech Poznan 1-1 Juventus
Man City 3-0 Red Bull Salzburg
Odense BK 1-1 Getafe
Rosenborg 0-1 Bayer Leverkusen
Sampdoria 1-2 PSV Eindhoven
Sporting 1-0 Lille
Young Boys 4-2 VfB Stuttgart
Zenit St Petersburg 3-1 Anderlecht
Kiungo huyo anatarajia kurejea uwanjani hii leo baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha majuma manne yaliyiopita ambayo yalishuhudia wakiwa anauguza jeraha la nyama za paja ambalo alilipata kwenye mchezo dhidi ya Bolton Wanderers waliokubali kichapo cha bao moja kwa sifuri toka kwa Liverpool.
Meneja wa klabu ya Liverpool Roy Hodgson amesema anatarajia kumuanzisha kiungo huyo katika mchezo wa hii leo na ana imani kubwa atatoa mchago wake ambao utakisaidia kikosi cha klabu hiyo kuzipata point tatu muhimu ambazo zitawavusha na kuingia katika hatua inayoafuata ya michuano hiyo.
Amesema alikua na wakati mgumu wa kufikiria suala la majeruhi linalomkabili kwa sasa lakini kurejea kwa Joe Cole kumemfariji na anaendelea kutumai Liverpool itafikia malengo yake kama yalivyopangwa toka mwanzoni mwa juma hili.
Liverpool watashuka katika uwanja wa ugenini hii leo huku wakiwa na matumaini ya wachezaji wao mahiri kama: Reina, Kelly, Wilson, Kyrgiakos, Aurelio, Lucas, Poulsen, Shelvey, Cole, Jovanovic, Babel.
Baadhi ya michezo mingine wa ligi ya barani Ulaya inayochezwa hii leo ni pamoja na:
Borussia Dortmund v Karpaty Lviv
CSKA Moscow v Lausanne Sports
CSKA Sofia v Besiktas
FC Utrecht v Napoli
Paris SG v Sevilla
Rapid Vienna v FC Porto
BATE Borisov v Dynamo Kiev
FC Sheriff Tiraspol v AZ Alkmaar
Palermo v Sparta Prague
PAOK Salonika v Club Bruges
Villarreal v Dinamo Zagreb
Michuano hiyo ya ligi ya ulaya usiku wa kuamkia hii leo imeendelea tena kwa baadhi ya michezo kuchezwa ambapo;
AA Gent 1-0 Levski Sofia
Atletico Madrid 2-3 Aris Salonika
FC Metalist Kharkiv 2-1 Debrecen
Hajduk Split 1-3 AEK Athens
Lech Poznan 1-1 Juventus
Man City 3-0 Red Bull Salzburg
Odense BK 1-1 Getafe
Rosenborg 0-1 Bayer Leverkusen
Sampdoria 1-2 PSV Eindhoven
Sporting 1-0 Lille
Young Boys 4-2 VfB Stuttgart
Zenit St Petersburg 3-1 Anderlecht
No comments:
Post a Comment