KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Thursday, December 2, 2010

Ipswich Town YA ROY KEANE YATINGA NUSU FAINALI.

Ipswich 1-0 West Brom


Kufuatia matokeo hayo Ipswich Town watapambana na Arsenal katika hatua ya nusu fainali ambapo Ipswich wataanzia nyumbani na kisha mchezo wa pili wa hatua hiyo utaunguruma huko Emirates yalipo makao makuu ya klabu ya Arsenal.

West Ham Utd waliowabanjua Man Utd usiku wa kuamkia jana wao watapambana na Birmingham City ambao wataanzia Upton Park huko jijini Londn kisha watarejea nyumbani Sta Andrews kucheza mchezo wa pili wa hatua hiyo ya nusus fainali.

Michezo ya hatua ya nusu fainali inatarajiawa kuchezwa kati ya Januari 11 ama 12 na kisha michezo ya marudio itachezwa kati ya Januari 25 ama 26.

No comments:

Post a Comment