
Andre Villas Boas amezungumzia suala hili linalomkabili kwa sasa, kufuatia mchezo wa kesho dhidi ya Bolton Wanderers ambao atakutana nao kwa mara ya kwanza toka alipojiunga na The blues akitokea Fc Porto mapema mwezi wa saba.
Amesema ni vigumu kucheza na klabu usiyoifahamu vizuri, lakini akasema mipango aliyoikuta huko Stamford Bridge imekua ikimuongoza kuvifahamu vikosi vya wapinzani pale wanapokutana navyo.
Meneja huyo mwenye umri wa miaka 33, ameendelea kueleza kwamba mpambano wa kesho ambao utaunguruma huko Reebok Stadium utakua na sura tofauti kutokana na nafasi waliopo Bolton kwenye msimamo wa ligi ambapo watahitaji kujipapatua na kuondoka mkiani.
Pia amemzungumzia meneja wa Bolton Wanderers Owen Coyle ambae alipewa jukumu la kukonoa kikosi hicho mwaka 2010, kwa lengo la kuinusuru klabu hiyo iliyokua mkiani na kwa bahati nzuri alifanikiwa kufanya hivyo.

Amesema meneja huyo ni mzuri licha ya kuwa na umri mdogo na mara kadhaa amekua akifuatilia namna anavyokinoa kiklosi cha Chelsea ambacho anaamini kesho kitaonyesha upinzani mkubwa dhidi ya kikosi cha Bolton Wanderers.
มาเล่นสล็อตที่นี่สิ
ReplyDeleteslotxo mี่ใครๆก็เล่นกัน
https://www.slotxd.com/slotxo
ทำเงินออนไลน์ง่าย ๆ กับ สล็อตออนไลน์บนมือถือ
ReplyDeleteเล่นได้ทุกที่ แค่มีโทรศัพท์มือถือ รองรับทั้ง IOS, Android
บริการด้วยระบบฝากถอนออโต้ ไม่ต้องมีขั้นต่ำ จาก slotxo
แจกหนักแจกจริงที่นี่ที่เดียว https://www.slotkkk.com/slotxo
สมาชิกใหม่รับไปเลยกับ โบนัสสล็อตเครดิตฟรี !