
Meneja wa washika bunduki wa Ashburton Grove, Arsenal Arsène Wenger amesema haamini kama mashabiki wa klabu hiyo bado wanakereka na tabia ya mshambuliaji kutoka nchini Togo Emmanuel Sheyi Adebayo ya kushangilia kwa kejeli mara baada ya kufunga bao katika mchezo wa ligi uliowakutanisha The Gunnes dhidi ya Man city mwaka 2009 huko Etihad Stadium.
Arsene Wenger amesema tayari mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25, ameshaomba radhi na kila mmoja klabuni hapo ameshamsamehe na katu hawawezi kulifikiria jambo hilo, na kuacha shughuli nyingine za kimaendeleo huko Emirates Stadium.

Wenger amezunguzia suala hilo, ikiwa imesalia siku moja kabla ya mpambano utakaowakutanisha mahasimu wa kaskazini wa jiji la London Arsenal dhidi ya Tottenham ambao kwa sasa wanamuhodhi Adebayor baada ya kumsajili kwa mkopo akitokea Man City.
แจกฟรีเครดิตเกมสล็อต xo ได้เงินจริง เล่นเลยไม่ต้องรอ slotxo
ReplyDeletehttps://www.slot2xl.com/
ReplyDeleteI think this is an informative blog and it is very useful and knowledgeable.
สูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า
I love to make my startup with a big thank to the author for this wonderfully helpful blog.
ReplyDeleteสูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า
I like this well shaped sports helpfulyl blogs site.
ReplyDeleteสูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า สูตรบาคาร่า
ดูหนังออนไลน์ Iron Man มหาประลัย คนเกราะเหล็ก (2008) ดูหนังฟรีได้ทุกที่ ต้องเข้ามาดูหนังออนไลน์ที่นี่
ReplyDeletehttps://www.doonung1234.com/
This is good info. GCLUB มือถือ
ReplyDelete