KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Saturday, October 1, 2011

ARSENE AMKINGIA KIFUA ADEBAYOR.

Meneja wa washika bunduki wa Ashburton Grove, Arsenal Arsène Wenger amesema haamini kama mashabiki wa klabu hiyo bado wanakereka na tabia ya mshambuliaji kutoka nchini Togo Emmanuel Sheyi Adebayo ya kushangilia kwa kejeli mara baada ya kufunga bao katika mchezo wa ligi uliowakutanisha The Gunnes dhidi ya Man city mwaka 2009 huko Etihad Stadium.

Arsene Wenger amesema tayari mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25, ameshaomba radhi na kila mmoja klabuni hapo ameshamsamehe na katu hawawezi kulifikiria jambo hilo, na kuacha shughuli nyingine za kimaendeleo huko Emirates Stadium.

Wenger amezunguzia suala hilo, ikiwa imesalia siku moja kabla ya mpambano utakaowakutanisha mahasimu wa kaskazini wa jiji la London Arsenal dhidi ya Tottenham ambao kwa sasa wanamuhodhi Adebayor baada ya kumsajili kwa mkopo akitokea Man City.

6 comments:

  1. แจกฟรีเครดิตเกมสล็อต xo ได้เงินจริง เล่นเลยไม่ต้องรอ slotxo

    https://www.slot2xl.com/

    ReplyDelete
  2. ดูหนังออนไลน์ Iron Man มหาประลัย คนเกราะเหล็ก (2008) ดูหนังฟรีได้ทุกที่ ต้องเข้ามาดูหนังออนไลน์ที่นี่
    https://www.doonung1234.com/

    ReplyDelete