
Hatma ya kiungo huyo wa kimataifa ipo mashakani baada ya Real Madrid kutumia kiasi kikubwa cha fedha kuwasajili wachezaji wapya katika kikosi hicho.
Meneja O'Neill amekiri kuwa klabu hiyo inawahitaji wachezaji kama Sneijder ili iweze kuwa kuwa miongoni mwa vilabu vinne bora kutokana na kuwa na kipaji cha hali ya juu.
Katika hatua nyingine klabu ya AC Milan imekubali kumsajili mshambuliaji wa kimataifa toka nchini Uholanzi Klaas-Jan Huntelaar kwa mkataba wa miaka minne utakaogharimu Paundi milioni 12.8.

Tangu ajiunga na Real amefunga mabao manane ambapo mara baada ya kusajiliwa kwa wachezaji Karim Benzema, Cristiano Ronaldo na Kaka ameonekana kuwa kama mchezaji wa akiba.
No comments:
Post a Comment