KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Tuesday, August 4, 2009

EVERTON WAMSAKA MBADALA WA LESCOTT.


Uongozi wa klabu ya Everton umethibitisha kuanza kwa mazungumzo kati yao na beki wa kimataifa toka nchini Uswis pamoja na klabu ya Arsenal, Philippe Senderos.


Pamoja kuathibitishwa kwa taarifa hizo, uongozi huo wa The Toffees umesema bado bei ya kuuzwa kwa mchezaji wao haijazungumzwa kati yao na uongozi wa klabu ya Arsenal.


Beki huyo mwenye umri wa miaka 24 anatarajia kusajiliwa na Everton kwa lengo la kuziba nafasi ya Joleon Lescott aliejiunga na klabu ya Man City.

No comments:

Post a Comment