
Meneja wa klabu ya Liverpool RAFA BENITEZ amesema atakua tayari kuondoka Anfiled endapo klabu hiyo itaamua kumuuza mshambuliaji wake wa kimataifa toka nchini Hispania Fernando Torres.
Liverpool wapo kwenye mchakato wa kumuuza mshambuliaji huyo mwenye thamani kwa sasa kufuatia mzigo wa deni la paundi milioni 245 linalo waandama.
Liverpool wapo kwenye mchakato wa kumuuza mshambuliaji huyo mwenye thamani kwa sasa kufuatia mzigo wa deni la paundi milioni 245 linalo waandama.
Benitez amesema iwapo wamiliki wa klabu hiyo ambao ni raia wa nchini Marekani watamzungunguka na kumuuza mshambuliji huyo hatoakubali kusalia Anfiled kwani atakua maehaibiwa mipango yake.
Meneja huyo mwenye umri wa miaka 49 amekuwa katika shinikizo kubwa msimu huu baada ya timu hiyo kushindwa kufanya vizuri katika ligi kuu ya soka nchini Uingereza pamoja na michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
No comments:
Post a Comment