
Washika bunduki wa Ashburton Grove Arsenal wanaendelea na taratibu zao za kutaka kumsajili winga wa kimataifa toka nchini Israel na klabu ya Fc Barcelona Gai Yigaal Assulin.
Winga huyo mwenye umri wa miaka 18 tayari ameshakataa kujiunga na klabu ya Chelsea mnamo mwaka 2007, na huenda akasaini mkartaba wa kuendelea kusalia huko Nou Camp.
Winga huyo mwenye umri wa miaka 18 tayari ameshakataa kujiunga na klabu ya Chelsea mnamo mwaka 2007, na huenda akasaini mkartaba wa kuendelea kusalia huko Nou Camp.
Kwa muda mrefu sasa klabu ya Arsenal imekuwa na mpango wa kuwasajili wachezaji chipukizi na huo umeonekana kuwa mfumo wa meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger.
No comments:
Post a Comment