KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Thursday, November 19, 2009

SHUGHULI YA BONDENI IMEIVA.


Hatimae rimu 32 zitakazocheza fainali za kombe la dunia za mwaka 2010 usiku wa kumakia leo zimefahamika miongoni mwa mashabiki wa soka ulimwenguini kote.

Michezo sita iliyokua inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki hao iliunguruma katika viwanja tofauti na mwishowe washindi walipatikana na kujiunga na mataifa 26 yaliyokua yameshafuzu kucheza fainali hizo.

Timu zilizofuzu usiku wa kuamkia leo ni pamoja na Algeria, Uruguay, Ufaransa, Slovenia, Ureno pamoja na Ugiriki.
orodha nzima ya timu 32 ni kama ifuatavyo;
AFRIKA.
ULAYA.

MAREKANI YA KATI NA KASKAZINI

Honduras (HON), Mexico (MEX) pamoja na USA (USA)

MAREKANI YA KUSINI;
OCEANIA;
MWENYEJI;

South Africa (RSA)

1 comment: