
Hatimae rimu 32 zitakazocheza fainali za kombe la dunia za mwaka 2010 usiku wa kumakia leo zimefahamika miongoni mwa mashabiki wa soka ulimwenguini kote.
Michezo sita iliyokua inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki hao iliunguruma katika viwanja tofauti na mwishowe washindi walipatikana na kujiunga na mataifa 26 yaliyokua yameshafuzu kucheza fainali hizo.
Timu zilizofuzu usiku wa kuamkia leo ni pamoja na Algeria, Uruguay, Ufaransa, Slovenia, Ureno pamoja na Ugiriki.
orodha nzima ya timu 32 ni kama ifuatavyo;
AFRIKA.
ULAYA.
Denmark (DEN), England (ENG), France (FRA), Germany (GER), Italy (ITA), Netherlands (NED), Portugal (POR), Serbia (SRB), Slovakia (SVK), Switzerland (SUI), Slovenia (SVN), Spain (ESP) pamoja na Greece (GRE).
MAREKANI YA KUSINI;
OCEANIA;
MWENYEJI;
South Africa (RSA)
Australia siyo ulaya mzee ni Oceanie.
ReplyDelete