KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Monday, November 16, 2009

SULEIMAN AL-FAHIM AINGIA MIGUU YOTE.


Mwanahisa wa klabu ya Portsmouth Suleiman al-Fahim anaamini kuwa adhabu ya kutosajili mchezaji yoyote iliyoangushwa kwenye klabu hiyo itamalizika mapema juma hili.

Al Fahim, ambae aliuza asilimia 90 za hisa zake ambazo zilikua zinamfanya aimiliki klabu hiyo amesema utaratibu wa kuamini adhabu hiyo itamalizika juma hili, utatoa mustakabali wa kufahamu The Pompey watamsajili mchezaji yupi wakati wa usajili mwezi januari mwaka 2010.

Portsmouth walitakiwa kutosajili mchezaji yoyote mpaka hapo watakapolipa mzigo wa madeni unaowaandama kwa sasa.

No comments:

Post a Comment