KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Friday, December 4, 2009

ROBIN VAN PERSIE ATIA MATUMAINI.


Mshambulaiji wa klabu ya Arsenal Robin van Persie anaonyesha matumaini mazuri ya kurejea uiwanjani mapema kufuatia upasuaji mdogo katika kufundo cha mguu aliofanyiwa kufanikiwa.

Meneja wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger amesema mshambuliaji huyo anaendelea vyema na huenda akarejea uwanjani kabl ya miezi mitano ambayo iliripotiwa siku za nyuma.

No comments:

Post a Comment