KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Saturday, March 13, 2010

SIKU ZA BENITEZ ZAHESABIKA.


Meneja wa klabu ya Birmingham City Alex McLeish kwa mara nyingine tena ametajwa kuwa miongoni mwa mameneja wanaopewa nafasi kubwa kuchukua nafasi ya Rafa Benitez huko Mecceside.


Taarifa zilizotolewa hii leo huko nchini Uingereza zimeeleza kuwa McLeish anaongoza katika kinyang’anyiro hicho ambacho kwa hivi sasa kinatolewa macho na mameneja kadha wa kadha.


Hata hivyo imeelezwa kuwa McLeish amekua mstari wa mbele katika harakati hizo kufuatia mkataba wake wa kukinoa kikosi cha Birmingham City kusaliwa na mwaka mmoja.

No comments:

Post a Comment