
Harakati za klabu ya Everton za kutaka kuongeza muda wa mkataba wa kumsajili kwa mkopo mshambuliaji wa kimataifa toka nchini Marekani na klabu ya Los angles Galax Landon Donovan zipo mbioni kugonga ukuta kufuatia kauli iliyoitolewa na meneja wa klabu ya LA GALAX Bruce Arena.
London Donovan ambae ni nahodha wa timu ya taifa ya Marekani tayari ameshaombewa nafasi ya kuendelea kusalia na huko Merseyside na meneja wake wa sasa David Moyes ambae ameonyesha namna ya kuukubali mchango wake ndani ya everton.
Ombi
No comments:
Post a Comment