KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Monday, March 15, 2010

PHIL BROWN KUSH-NEHI


Siku mbili baada ya kubanjuliwa mabao mawili kwa moja kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka nchini uingereza na washika bunduki wa Ashburton Grove, uongozi wa klabu ya Hull city umetangaza kumtimua kazi meneja wake Phil Brown.


maamuzi ya uongozi wa klabu hiyo yamefikiwa baada ya kuonekana hakuna uwezekano wa kumpa nafasi nyingine meneja huyo kuendelea kukinoa kikosi cha Hull City ambacho kipo kwenye harakati za kushuka daraja msimu huu.

No comments:

Post a Comment