
Wakala wa mchezaji wa kimataifa toka nchini Italia na klabu ya Inter Milan Mario Balotelli amekenusha taarifa za mchezaji wake kuwa mbioni kusaini mkataba mpya.
Corrado Balotelli wakala wa mshambuliaji huyo amesema mchezaji wake ambae pia ni ndugu yake wa kuzaliwa kwa sasa bado anaendelea na mkataba wake wa zamani na hana taarifa zozote za uongozi wa klabu ya Inter Milan kuwa mbioni kumpa mkataba mpya.
No comments:
Post a Comment