
Baada ya kumuachia Jose Mourinho, uongozi wa klabu ya Inter Milan upo mbioni kumshawishi kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uingereza Fabio Capello ili aweze kuchukua pahala palipoacha wazi wa mreno huyo.
Akizungumza kwa niaba ya uongozi, raisi wa klabu ya Inter Milan Massimo Moratti amesema mbali na kocha huyo wa timu taifa ya Uingereza pia wapo makocha wengine ambao wanadhani huenda watafaa kuchukua nafasi ya kuwa meneja wa kikosi chao.
Akizungumza kwa niaba ya uongozi, raisi wa klabu ya Inter Milan Massimo Moratti amesema mbali na kocha huyo wa timu taifa ya Uingereza pia wapo makocha wengine ambao wanadhani huenda watafaa kuchukua nafasi ya kuwa meneja wa kikosi chao.
No comments:
Post a Comment