
Licha ya kutishia kujiondoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon mshambuliaji wa klabu ya inter Milan ya nchini Italia, Samuel Eto'o amejumuishwa kikosini na kuwa miongoni mwa wachezaji 23 watakaoelekea nchini Afrika kusini.
Eto’o alitishia kujiondoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon kufuatia kauli iliyotolewa na gwiji la soka la nchi hiyo Roger Milla ambae amemshutumu kwa kumueleza hana moyo wa kizalendo wa kucheza the Indomitable Lion.
Eto’o alitishia kujiondoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon kufuatia kauli iliyotolewa na gwiji la soka la nchi hiyo Roger Milla ambae amemshutumu kwa kumueleza hana moyo wa kizalendo wa kucheza the Indomitable Lion.
No comments:
Post a Comment