
Mkurugenzi mkuu wa klabu ya Real Madrid Jorge Valdano amesema Jose Mourinho anaetarajiwa kuwa meneja mpya wa klabu hiyo huenda akatambulishwa rasmi kwa waandishi wa habari siku ya jumatatu (May 31-2010).
Valdano amesema meneja huyo anatarajiwa kuwasili nchini Hispania siku ya jumatatu ama jumanne na baada ya kukamilisha taratibu za mazungumzo na uongozi wa klabu ya Real Madrid ndipo atatambulishwa rasmi.
Valdano amesema meneja huyo anatarajiwa kuwasili nchini Hispania siku ya jumatatu ama jumanne na baada ya kukamilisha taratibu za mazungumzo na uongozi wa klabu ya Real Madrid ndipo atatambulishwa rasmi.
No comments:
Post a Comment