
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uingereza Fabio Capello nae ameamua kutangaza kuendelea kubaki na beki wa klabu ya Man utd Rio Ferdinand ambae ni majeruhi wa goti.
Capello amesema Rio Ferdinand ambae tayari nafasi yake imeshachukuliwa na Michael Dawson bado ni sehemu ya timu hivyo ameona ni bora aendelee kuwepo nchini Afrika kusini kwa lengo la kuwapa hamasa wachezaji wenzake.
Rio Ferdinand alipata maumivu ya goti alipokua mazoezini mwishoni mwa juma lililopita wakati akijaribu kuokoa hatari katika upande aliokua akiutetea.
Capello amesema Rio Ferdinand ambae tayari nafasi yake imeshachukuliwa na Michael Dawson bado ni sehemu ya timu hivyo ameona ni bora aendelee kuwepo nchini Afrika kusini kwa lengo la kuwapa hamasa wachezaji wenzake.
Rio Ferdinand alipata maumivu ya goti alipokua mazoezini mwishoni mwa juma lililopita wakati akijaribu kuokoa hatari katika upande aliokua akiutetea.
No comments:
Post a Comment