KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Thursday, December 9, 2010

ARSENAL WASONGA MBELE !!!

Arsenal 3-1 Partizan Belgrade


Kufuatia matokeo hayo Arsenal wamemaliza katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi la nane hivyo huenda wakapangwa kukutana na Barcelona, Real Madrid, Bayern Munich ama Schalke katika hatua ya 16 bora ambayo inapangwa kesho mjini Nyon nchini Uswiz.

Matokeo ya michezo mingine ya ligi ya mabingwa barani ulaya ni pamoja na

AC Milan 0-2 Ajax

Bayern Munich 3-0 Basle

CFR 1907 Cluj-Napoca 1-1 Roma

Marseille 1-0 Chelsea

MSK Zilina 1-2 Spartak Moscow

Real Madrid 4-0 Auxerre

Shakhtar Donetsk 2-0 Braga

No comments:

Post a Comment