KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Friday, December 10, 2010

JAMAA WAPO FIT KUWAKABILI ARSENAL J3.


Wakati michezo hiyo ikitarajiwa kuunguruma kesho meneja wa klabu ya Man Utd Sir Alex Ferguson ameonyesha furaha kufuatia baadhi ya wachezaji wake waliokua majeruhi kurejea mazoezini tayari kwa mchezo wa jumatatua ambapo mashetani wekundu watakuwa wenyeji wa Arsenal huko Old Trafford.

Wachezaji waliokua wakimuumiza kichwa mzee huyo ni Paul Scholes, Patrice Evra pamoaj na Rio Ferdinand.

No comments:

Post a Comment