KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA.

Wednesday, December 8, 2010

UEFA Champions League MATCH DAY SIX.


Makundi manne ya michuano ya ligi ya mbaingwa barani Ulaya, usiku wa kuamkia hii leo yamemaliza michezo ya hatua hiyo na kufanikiwa kuzipata klabu nane zilizofanikiwa kusonga mbele kikamilifu baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza na ya pili kikamilifu.

Katika kundi la kwanza:

Weserstadion, Bremen
Werder Bremen 3-0 Inter Milan

De Grolsch Veste, Enschede
FC Twente 3-3 Tottenham

Amepita Spurs pamoja na Inter Milan


Kundi la pili;

Stade Gerland, Lyon
Lyon 2-2 Hapoel Tel-Aviv

Estádio da Luz, Lisbon
Benfica 1-2 Schalke 04

Amepita Shalke 04 pamoja na Olympic Lyon


Kundi la tatu;

Old Trafford, Manchester
Man Utd 1-1 Valencia

Atatürk, Bursa
Bursaspor 1-1 Rangers

Amepita Man Utd pamoja na Valencia


Kundi la nne;

Camp Nou, Barcelona
Barcelona 2-0 Rubin Kazan

Parken, Copenhagen
FC Copenhagen 3-1 Panathinaikos

Amepita FC Barcelona pamoja na Fc Copenhagen


Hatua ya makundi ya michuano hiyo ya ligi ya mbaingwa barani Ulaya inakamishwa hii leo kwa michezo ya kundi la tano hadi la nane kuchezwa kwenye viwanja tofauti;

Kundi la tano
Allianz-Arena, Munich
Bayern München v FC Basel

Dr. Constantin Radulescu, Cluj-Napoca
CFR 1907 Cluj v AS Roma


Kundi la sita;

Stade Vélodrome, Marseille
Olympique Marseille v Chelsea

Pod Dubnon, Žilina
MSK Zilina v Spartak Moskva


Kundi la saba;

Bernabéu, Madrid
Real Madrid v AJ Auxerre

Giuseppe Meazza, Milan
AC Milan v Ajax


No comments:

Post a Comment