
Kocha mkuu wa timu hiyo Fabio Capello mapema hii leo aliita kikosi chake ambacho kinawakosa wachezaji wenye uzoefu huku wengine wakitemwa kutokana na sababu za kushuka viwango ama kuwa majeruhi katika kipindi hiki.
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs Jermain Defoe pamoja na beki wa Man City Joleon Lescott wameachwa katika kikosi hicho licha ya kuonyesha jitihada za kujituma katika michezo ya ligi huku mshambuliaji wa Fulham Bobby Zamora pamoja na kipa wa Bursaspor Scott Carson wakijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 24.

Kikosi kamili kilichoitwa na Fabio Capello kwa upande;
Makipa:
Scott Carson (Bursaspor), Joe Hart (Man City), David Stockdale (Ipswich).
Mabeki:
Leighton Baines (Everton), Gary Cahill (Bolton), Ashley Cole (Chelsea), Phil Jagielka (Everton), Phil Jones (Man Utd), Micah Richards (Man City), John Terry (Chelsea), Kyle Walker (Tottenham).
Viungo:
Gareth Barry (Man City), Stewart Downing (Liverpool), Adam Johnson (Man City), Frank Lampard (Chelsea), James Milner (Man City), Scott Parker (Tottenham), Theo Walcott (Arsenal), Ashley Young (Man Utd).
Wambuliaji:
Darren Bent (Aston Villa), Andy Carroll (Liverpool), Wayne Rooney (Man Utd), Danny Welbeck (Man Utd), pamoja na Bobby Zamora (Fulham)
สล็อต slotxo เล่นสนุก เล่นแล้วได้เงินจริงที่นี่เท่านั้นเว็บสล็อตxo
ReplyDeletehttps://www.slot4u.com/slotxo