
Carlo Michelangelo Ancelloti ametoa msimamo huo huku akimini kabisa ipo siku atarejea katika ligi kuu ya soka nchini Uingereza baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwili akiwa na klabu ya Chelsea ambayo aliipa ubingwa wa nchini Uingereza katika msimu wa mwaka 2009-10.

Amesema mbali na klabu ya Arsenal pia anatamani kuwa meneja wa klabu kubwa kama Tottenham Hotspurs ama Liverpool ambazo kwa sasa zimekaa katika mstari mzuri wa kupata ushidni kwenye michezo inayowakabili.

Kipa huyo amekataa kukubalia na madai hayo ya mashabiki kwa kusema kigezo cha kupoteza mchezo wa mwishoni mwa juma lililopita hakiwezi kutumika katika uwiyano wa viwango kwa klabu hizo.
Amesema bado anaamini Arsenal wapo juu zaidi ya Spurs huku akitoa angalizo kwa mashabiki wanaowabeza kwa kuelza wazi kuwa, hiki ni kipindi cha mpito kwao kwani anaamini watarejea katika njia nzuri ya ushindi siku za hivi karibuni.
greetings
ReplyDeleteobat perangsang | obat kuat | alat bantu sex